HII NDO NYUMBA YA WAZIRI MKUU
Muonekano wa nje ya nyumba ya waziri mkuu wa Tz iliyoko dodoma maeneo ya mlimani area c na hapa alipo kijana YASINI MHINDI ndo juu ya mlima huo je wataka kujua mengi zaid kuhusu dodoma karibu katika blog hii au nifuatea Twitter/Yasini Mhindi pia waweza niona Facebook/Yasini Mhindi
Ni nzuri kiukwel hii nyumba!!!
ReplyDelete