WAGANGA WA JADI NA UWONGO WAO
Hivi hawa waganga kwa nn wanapenda kuwadanganya watu kuwa wanatibu magonjwa yasiyo na tiba kama vile Ukimwi kuwang'arisha nyota na mengine mengi
Utasikia mganga anakwambia uje akupe pete ya bahati je? Ingekuwa bahati wanatoa wao hapa dunian nahisi wote tungekuwa na imani za kishirikina kwa upande wangu huwa nawachukia sana
Je? Tufanyaje tuepukane na haya mambo potofu ya Waganga wa kienyeji toa maoni yako hapo ili tujue
By Mhindi classic bo¥.com
No comments