MNAYAONGELEAJE MANENO YALIYO KWENYE MAGARI
Hapa Tanzania isha kuwa kama fashion kuandika ujumbe kwenye magari mfano Kufa hufi ila chamoto utakiona
Mengine huwa na maana na mengine huwa ya kutoa ujumbe mengine kukandia je? Wewe unayachukuliaje haya maneno
Kuwa makini na maneno hayo usije ukaingia mkenge kwan waweza kuta gar imeandikwa si ruksa kuingia ndan na viatu ukajikuta unavua ndo uingie
Haya lete maneno yako juu ya hili kama unayapenda au huyapendi kazi ni kwako
By Mhindi classic bo¥.com
No comments